banner

Monday, November 9, 2020

WANASHERIA WACHAMBUA KASHFA INAYOMUANDAMA DREVA WA SSB

 


NA CHARLES MULLINDA

KITENDO cha kumshawishi mtu kufanya mapenzi na mnyama au watu watu wawili kufanya mapenzi mbele ya mtu mwingine au mbele ya kadamnasi ya watu ni kosa jinai.

Hayo yameelezwa na wanasheria waliozungumza na Tanzania PANORAMA kuhusu sakata linalomuandama Idi Mzee ambaye ni dreva wa Kampuni ya Said Salim Bakhresa (SSB) anayelalamikiwa na mpenzi wake, jina limehifadhiwa kuwa amekuwa akimfanyisha mapenzi na mbwa, kumfanyisha mapenzi na wanawake wenzake, kumfanyisha mapenzi na wanaume zaidi ya mmoja huku yeye akiwaangalia kabla ya kushiriki naye tendo hilo na pia kumfanyisha mapenzi kinyime cha maumbile.

Hata hivyo, wanasheria hao waliozungumza kwa sharti la majina yao kuhifadhiwa kwa kile walichodai kuwa madai hayo yanatia kinyaa wamesema mwanasheria anayedaiwa kusimamia mkataba wa wapenzi hao kuachana kwa sharti la kulipana pesa hana hatia na alichokifanya hamkimfungi kisheria.

“Mwanasheria anayedaiwa kusimamia mkataba wa wapenzi hao kuachana, na sitaki kumtaja jina mimi hata kama ametajwa kwa sababu ya jambo lenyenye hili lilivyo hana kosa lolote. Hata kama alijua matendo machafu ya watu hao hana kosa. Mwanasheria ni kama karani tu.

“Na huo mkataba aliowasainisha na kulipana fedha kama inavyodaiwa, pamoja na kwamba aliuandaa yeye kama inavyodaiwa lakini hautambuki kisheria.

“Lakini sasa, kitendo cha kufanya mapenzi na mbwa ni kosa kisheria na mtu yoyote anayemshawishi mtu mwingine kufanya mapenzi na mbwa anakuwa ametenda kosa la jinai. Hilo haliko katika makosa ya madai,” alisema mmoja  wa wanasheria waliozungumza na Tanzania PANAROMA.

Mwanasheria mwingine aliyezungumzia hilo alisema binadamu kufanya mapenzi na wanyama hairuhusiwi kisheria.

“Binadamu kufanya mapenzi na mnyama hairuhusiwi kisheria na au kufanya mapenzi kinyume cha maumbile au kufanya mapenzi na mtu zaidi ya mmoja.

“Sisi kama taifa la watu wastaarabu tena wenye utamaduni mzuri kabisa tunapaswa kuyapiga vita kwa nguvu zetu zote mambo ya aina hii pasipo kuagaliana usoni.

“Mwaka 2008, huko mkoani Mwanza, Hakimu  Gadiel Mariki aliwahukumu watu watatu kwenda jela miaka 20 kwa makosa ya kushawishi na kufanya mapenzi na mbwa. Hawa walikuwa wafanyakazi wa kampuni moja inayojihusisha na uchumbaji madini hapa nchini hivyo ni lazima watu waelewe kufanya mapenzi na wanyama au mbele ya mtu mwingine ni makosa makubwa kisheria,” alisema.

1 comment:

  1. kama raia wa kawaida na mwenye comon sense, simwelewi huyo mwanasheria. nimuhimu sana kuzingatia maadilikatika fani hii ya sheria. haileti mantiki kuwatengenezea watu mkataba ambao hata objective zake makes no sense. hayo nimakubaliano yasiyokuwa na nguvu ya kisheria maana huwezi peleka mbele za vyombo vya sheria kudai haki yako.
    kwaupande mwingine, Mungu atuepushe sana na Tamaa za muda mchache zenye madhara ya muda mrefu. maana haopo huyo binti amezalilika na sheria ilimkomalia atachezea kifungo kirefu tuu maana hakulazimishwa na nikitu kilichokua endelevu. Mungu atusaidie

    ReplyDelete